Sunday, April 16, 2017

MAHOJIANO YA RAIS: Mhe. Morison Mosses na Mtangazaji wa 90.0 TBC FM ndugu Khalid A. Gangana leo 16/04/2017.

Leo siku ya Pasaka mosi 16 Aprili, 2017, Rais wa Freestyle Tanzania alikuwa 90.0 TBC FM ambapo alikuwa akihojiwa na ndg. Khalid Ali Gangana katika kipindi cha Michezo kiitwacho NIPE TANO kwenye kipengele cha Michezo ni juu ya jukwaa. Mhe. Morison Mosses alizungumzia suala la ujio Ronaldo De Assiss Moreira maarufu kama Ronaldinho Gaucho na ndiye balozi wa Freestyle Football ya Dunia iliyopo Uingereza.


Nifanyaje kuomba

U A N A C H A M A - G e n i u s MP
Jaza fomu ya uanachama, kisha ipeleke Ngome kuu, ofisi ya klabu ya Genius MP, kamati ya usajili.

U B I A

U S H I R I K A

U D H A M I N I

U F A D H I L I

Ruksa Fursa kuwa:

1. Mchezeaji mpira
2. Kocha
3. Jaji
4. MC
5. Mtawala / Kiongozi / Mtumishi